President Uhuru Kenyatta has dared Deputy President William Ruto to resign if he has problems with the government.
The Head of State accused Ruto of doublespeak to divide Kenyans for selfish gains.
According to him, the focus of the government is the country's unity and development.
“Hakuna haja ya kuincite wakenya wenyewe kwa wenyewe. Unakuja unasema kwa mdomo moja serikali ni mbaya alafu kwa mdomo mwingine ati tumefanya kama serikali. Kwani serikali ni ngapi? Si ni moja? Kama unataka uzuri wake ukae nayo, kama unataja ubaya wake toka uwache wale wengine waendelee,” he said speaking to residents of Kabete in Kiambu County.
“Lakini huwezi kuja na mdomo moja unasema hii na mdomo mwingine unasema matusi ya wale ambao unasema unafanya na wao. Tuheshimiane jameni,” he added.
The president opened the Uthiru-Muthua Health Centre and Muthua Community Water Supply Project, which is part of 24 facilities being developed by the Nairobi Metropolitan Service in Nairobi and its satellite towns.
Uhuru also took the opportunity to rally for the BBI Bill, emphasizing how it will address decades of inequality by making government funds accessible to all Kenyans.
The president said, “Tunataka ata tukienda kwa BBI tunataka watoto wa Kenya wote wawe wanapata bursary kulingana na wengine. Tukisema tunataka Constituency ingine hapa iwakilishe, na pesa ya CDF iongezeke tumesema vibaya? Kuna njia ingine tutaweza kumaliza umaskini jameni? Hao watu wasitulete bwana.”
“Tuchague BBI tusije tukajilaumu…sijakuja mnishangilie nimekuja kuwaambia ukweli. Sisi tulisema haja yetu ni kazi. BBI sio ya kusaidia mtu..ni wananchi. Ni makosa tukisema vijana wapate loans. Vijana mtaani msidanganywe,” he added.
No comments:
Post a Comment